sw_tn/jos/20/04.md

398 B

Atakimbilia

Hapa kiwakilishi 'a' kinamrejelea mtu yule aliyeua bila kukusudia.

na ataeleza kesi yake kwa wazee wa mji ule

"kuwashawishi wazee wa mji ule ya kwamba aliua mtu bila kukusudia.

Kisha watamwingiza

Kiwakilishi 'wa' kinawarejelea wazee na kiwakilishi "m' kinamrejelea mtu aliyeua bila kukusudia.

kuishi miongoni mwao

Hii inarejelea mji wote kwa ujumla, na si kwa wazee tu.