forked from WA-Catalog/sw_tn
381 B
381 B
Yironi...Migdaleli..Horemu...Bethi Anathi
Haya ni majina ya miji
Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Nafutali
Nchi na miji ambayo kabila la Nafutali liliipokea inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu,
walipewa miji pamoja na vijiji vyake kufuatana na koo zao
Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambayo Yoshua aliwapa kwa koo zao