sw_tn/jos/19/38.md

381 B

Yironi...Migdaleli..Horemu...Bethi Anathi

Haya ni majina ya miji

Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Nafutali

Nchi na miji ambayo kabila la Nafutali liliipokea inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu,

walipewa miji pamoja na vijiji vyake kufuatana na koo zao

Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambayo Yoshua aliwapa kwa koo zao