forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
381 B
Markdown
12 lines
381 B
Markdown
|
# Yironi...Migdaleli..Horemu...Bethi Anathi
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya miji
|
||
|
|
||
|
# Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Nafutali
|
||
|
|
||
|
Nchi na miji ambayo kabila la Nafutali liliipokea inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu,
|
||
|
|
||
|
# walipewa miji pamoja na vijiji vyake kufuatana na koo zao
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambayo Yoshua aliwapa kwa koo zao
|