sw_tn/jos/19/23.md

281 B

Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Isakari

Nchi na miji ambayo kabila la Zabuloni liliipokea inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu

waliopewa kwa kufuatana na koo za

Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Yoshua aliwapa kwa koo zao."