sw_tn/jos/19/23.md

8 lines
281 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Isakari
Nchi na miji ambayo kabila la Zabuloni liliipokea inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao waliupokea kama mali ya kudumu
# waliopewa kwa kufuatana na koo za
Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Yoshua aliwapa kwa koo zao."