sw_tn/jos/18/11.md

423 B

Katika kabila la Benyamini, ugawanaji wa nchi ulifanyika kwa kupewa kwa koo zao

Hii inaweza kuelezwa muundo tendaji. "Kila kabila la Benyamini lilipewa kwa kufuata koo zao."

ati ya wazawa wa Yuda na wazawa wa Yusufu

"kati ya nchi ambayo ni mali ya wazawa wa Yuda na nchi iliyo mali ya wana wa Yusufu."

Wazawa wa Yusufu

hii inawarejelea kabila la Efraimu na Manase.

Bethi Aveni

Hili ni jina la mahali/sehemu