forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
488 B
Markdown
20 lines
488 B
Markdown
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Yoshua anaendeleza hutoba yake kwa watoto wa Israeli.
|
|
|
|
# hana sehemu
|
|
|
|
Hakuna sehemu ya nchi
|
|
|
|
# kwa kuwa ukuhani wa Yahweh ni urithi wao
|
|
|
|
Yoshua anazungumzia juu ya heshima kubwa ambayo Walawi walikuwa nayo kwa kumtumikia Yahweh, ilikuwa kana kwamba ulikuwa ni urithi.
|
|
|
|
# nusu ya kabila la Manase
|
|
|
|
"nusu ya kabila la Manase"
|
|
|
|
# wameshapokea urithi wao
|
|
|
|
Nchi ambayo watu watairithi inaongelewa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao wangeupokea kama mali yao ya kudumu
|