sw_tn/jos/18/07.md

488 B

Maelezo ya jumla

Yoshua anaendeleza hutoba yake kwa watoto wa Israeli.

hana sehemu

Hakuna sehemu ya nchi

kwa kuwa ukuhani wa Yahweh ni urithi wao

Yoshua anazungumzia juu ya heshima kubwa ambayo Walawi walikuwa nayo kwa kumtumikia Yahweh, ilikuwa kana kwamba ulikuwa ni urithi.

nusu ya kabila la Manase

"nusu ya kabila la Manase"

wameshapokea urithi wao

Nchi ambayo watu watairithi inaongelewa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao wangeupokea kama mali yao ya kudumu