sw_tn/jos/17/03.md

419 B

Zelofehadi...Heferi...Eliazari

Haya ni majina ya wanaume

Mahila, Noa, Hogila, Milka, na Tirsa

Haya ni majina ya wanawake.

atupatie urithi wetu

Nchi inaongelewa hapa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao watu walilpewa kama mali ya kudumu. "kutupa sisi sehemu ya nchi kama urithi"

aliwapa wanawake hao urithi

Maana zinazokubalika a)"Yoshua aliwapa wale wanawake urithi" b) Eliazeri aliwapa wanawake urithi.