sw_tn/jos/13/29.md

594 B

Musa aliwapa urithi nusu ya kabila la Manase

Nchi ambayo Musa aliwapa nusu ya kabila la Manase inazungumziwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao aliwapa kama mali ya kudumu.

nusu ya kabila la Manase

Ni nusu tu ya kabila ilipokea nchi hii kwasababu nusu nyingine ilipokea nchi katika upande mwingine wa mto Yordani.

Uligawiwa

Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Musa aliugawa"

Mahanaimu...Yairi...Ashitarothi...Edrei.

haya ni majina ya mahali/sehemu

Makiri

Hili ni jina la mwanaume.

hii iligawanywa

Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Musa alizigawa hii miji"