sw_tn/jos/13/29.md

24 lines
594 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Musa aliwapa urithi nusu ya kabila la Manase
Nchi ambayo Musa aliwapa nusu ya kabila la Manase inazungumziwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao aliwapa kama mali ya kudumu.
# nusu ya kabila la Manase
Ni nusu tu ya kabila ilipokea nchi hii kwasababu nusu nyingine ilipokea nchi katika upande mwingine wa mto Yordani.
# Uligawiwa
Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Musa aliugawa"
# Mahanaimu...Yairi...Ashitarothi...Edrei.
haya ni majina ya mahali/sehemu
# Makiri
Hili ni jina la mwanaume.
# hii iligawanywa
Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Musa alizigawa hii miji"