forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
400 B
Markdown
12 lines
400 B
Markdown
# huu ni mpaka wao
|
|
|
|
Mto Yordani ulikuwa mpaka upande wa magharibi wa nchi ambayo kabila la Reubeni waliipokea.
|
|
|
|
# Huu ulikuwa urithi wa kabila la Rubeni
|
|
|
|
Nchi ambayo Musa aliwagawia kabila la Rubeni inazungumziwa kana kwamba ilikuwa ni urithi ambao kabila la Rubeni walipokea kama mali ya kudumu.
|
|
|
|
# uliotolewa kwa kila ukoo,
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji: "ambao Musa aliwapa kila ukoo."
|