sw_tn/jos/13/22.md

400 B

huu ni mpaka wao

Mto Yordani ulikuwa mpaka upande wa magharibi wa nchi ambayo kabila la Reubeni waliipokea.

Huu ulikuwa urithi wa kabila la Rubeni

Nchi ambayo Musa aliwagawia kabila la Rubeni inazungumziwa kana kwamba ilikuwa ni urithi ambao kabila la Rubeni walipokea kama mali ya kudumu.

uliotolewa kwa kila ukoo,

Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji: "ambao Musa aliwapa kila ukoo."