sw_tn/jos/07/04.md

533 B

watu wapatao elfu tatu tu kutoka katika jeshi

Hawa ni wanaume walikuwa sehemu ya jeshi. "Watu elfu tatu waliokuwa ni sehemu ya jeshi waliopanda."

watu elfu tatu.... watu thelathini na sita

wanaume sita..-"3,000 watu ... 36 wanaume"

mioyo ya watu iliogopa... ujasiri wao uliwatoka

Vifungu hivi viwili vya maneno vina maana sawa na vimeunganishwa ili kutilia mkazo kwamba watu waliogopa sana.

mioyo ya watu

Kirai hiki kinawarejelea wanajeshi wa Kiisraeli

ujasiri wao ukawatoka

"hawakuwa na ujasiri tena ndani yao"