forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
533 B
Markdown
20 lines
533 B
Markdown
|
# watu wapatao elfu tatu tu kutoka katika jeshi
|
||
|
|
||
|
Hawa ni wanaume walikuwa sehemu ya jeshi. "Watu elfu tatu waliokuwa ni sehemu ya jeshi waliopanda."
|
||
|
|
||
|
# watu elfu tatu.... watu thelathini na sita
|
||
|
|
||
|
wanaume sita..-"3,000 watu ... 36 wanaume"
|
||
|
|
||
|
# mioyo ya watu iliogopa... ujasiri wao uliwatoka
|
||
|
|
||
|
Vifungu hivi viwili vya maneno vina maana sawa na vimeunganishwa ili kutilia mkazo kwamba watu waliogopa sana.
|
||
|
|
||
|
# mioyo ya watu
|
||
|
|
||
|
Kirai hiki kinawarejelea wanajeshi wa Kiisraeli
|
||
|
|
||
|
# ujasiri wao ukawatoka
|
||
|
|
||
|
"hawakuwa na ujasiri tena ndani yao"
|