forked from WA-Catalog/sw_tn
621 B
621 B
Maelezo ya jumla
Yoshua anawaambia Waisraeli maana ya fungu la mawe kumi na mawili.
Maji ya Yordani yalitengwa mbele ya sanduku la Yahweh
Sentesi hii inaweza kuelezwa katika kauli tendaji: "Yahweh aliyatenga maji ya Yordani mbele ya sanduku la agano lake"
Maji ya Yordani
Mto Yordani
yalitengwa mbele ya sanduku la Yahweh
Mto Yordani ulizuiliwa na Mungu ili usitiririke kuelekea sanduku la Agano ambalo lilikuwa limebebwa na makuhani.
maji ya Yordani yalisimamishwa
Maji yaliyotiririka katika Mto Yordani yalikoma mbele ya sanduku ili kwamba kila mtu pamoja na agano lenyewe lisafiri katika nchi kavu.