sw_tn/jos/04/06.md

621 B

Maelezo ya jumla

Yoshua anawaambia Waisraeli maana ya fungu la mawe kumi na mawili.

Maji ya Yordani yalitengwa mbele ya sanduku la Yahweh

Sentesi hii inaweza kuelezwa katika kauli tendaji: "Yahweh aliyatenga maji ya Yordani mbele ya sanduku la agano lake"

Maji ya Yordani

Mto Yordani

yalitengwa mbele ya sanduku la Yahweh

Mto Yordani ulizuiliwa na Mungu ili usitiririke kuelekea sanduku la Agano ambalo lilikuwa limebebwa na makuhani.

maji ya Yordani yalisimamishwa

Maji yaliyotiririka katika Mto Yordani yalikoma mbele ya sanduku ili kwamba kila mtu pamoja na agano lenyewe lisafiri katika nchi kavu.