sw_tn/jos/01/04.md

462 B

Maelezo ya jumla

Yahweh anaendelea kuzungumza na Yoshua

Nchi yenu

Neno 'yenu' linarejelea makabila ya Israeli na si Yoshua pekee yake.

kusimama kinyume chako

Katika mstari wa 5 maneno 'chako' na 'yako' yanamrejelea Yoshua.

Sitakupungukia wala kukuacha

Maneno 'sitakupungukia' na 'kukuacha' kimsingi yanamaanisha kitu kile kile. Yahwe aliyatumia kwa pamoja ili kukazia na kuonesha kwamba hatayafanya mambo haya. "Nitakuwa pamoja nawe siku zote."