forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
462 B
Markdown
16 lines
462 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaendelea kuzungumza na Yoshua
|
||
|
|
||
|
# Nchi yenu
|
||
|
|
||
|
Neno 'yenu' linarejelea makabila ya Israeli na si Yoshua pekee yake.
|
||
|
|
||
|
# kusimama kinyume chako
|
||
|
|
||
|
Katika mstari wa 5 maneno 'chako' na 'yako' yanamrejelea Yoshua.
|
||
|
|
||
|
# Sitakupungukia wala kukuacha
|
||
|
|
||
|
Maneno 'sitakupungukia' na 'kukuacha' kimsingi yanamaanisha kitu kile kile. Yahwe aliyatumia kwa pamoja ili kukazia na kuonesha kwamba hatayafanya mambo haya. "Nitakuwa pamoja nawe siku zote."
|