sw_tn/job/41/10.md

501 B

Ni nani basi awezaye kusimama mbele yake?

"Hakuna yeyote anayeweza kusimama mbele yangu/yake"

Ni nani kwanza aliyenipa kitu chochote ili kwamba niweze kumlipa?

"Hakuna yeyote ambaye kwanza amenipa kitu fulani, ili kwamba niweze kumlipa.

Sitanyamaza kimya

"Hakika nitasema"

miguu ya mamba, wala kuhusu jambo linalohusu nguvu zake

"mguu. Nitazungumza pia juu ya mambo yanayohusu nguvu zake"

nguvu zake, wala kuhusu umbo lake zuri.

"nguvu. Nitazungumzia pia juu ya umbo lake la neema"