forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
501 B
Markdown
20 lines
501 B
Markdown
|
# Ni nani basi awezaye kusimama mbele yake?
|
||
|
|
||
|
"Hakuna yeyote anayeweza kusimama mbele yangu/yake"
|
||
|
|
||
|
# Ni nani kwanza aliyenipa kitu chochote ili kwamba niweze kumlipa?
|
||
|
|
||
|
"Hakuna yeyote ambaye kwanza amenipa kitu fulani, ili kwamba niweze kumlipa.
|
||
|
|
||
|
# Sitanyamaza kimya
|
||
|
|
||
|
"Hakika nitasema"
|
||
|
|
||
|
# miguu ya mamba, wala kuhusu jambo linalohusu nguvu zake
|
||
|
|
||
|
"mguu. Nitazungumza pia juu ya mambo yanayohusu nguvu zake"
|
||
|
|
||
|
# nguvu zake, wala kuhusu umbo lake zuri.
|
||
|
|
||
|
"nguvu. Nitazungumzia pia juu ya umbo lake la neema"
|