forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
408 B
Markdown
12 lines
408 B
Markdown
# e waweza kuijaza ngozi yake kwa vyusa au kichwa chake kwa mikuki ya kuvulia?
|
|
|
|
"Hauwezi kumchoma ngozi yake kwa silaha za kuwindia, wala kumchoma kichwa chake kwa zana za kuvulia"
|
|
|
|
# vyusa au kichwa cha mikuki
|
|
|
|
chusa ni mkuki mkubwa ukiwa umechongoka ukitumika kuwindia samaki wakubwa au nyangumi.
|
|
|
|
# je si kila mmoja atatupwa chini katika nchi mbele yake?
|
|
|
|
"kila mmoja atatupwa chini ardhini mbele yake"
|