sw_tn/job/41/07.md

408 B

e waweza kuijaza ngozi yake kwa vyusa au kichwa chake kwa mikuki ya kuvulia?

"Hauwezi kumchoma ngozi yake kwa silaha za kuwindia, wala kumchoma kichwa chake kwa zana za kuvulia"

vyusa au kichwa cha mikuki

chusa ni mkuki mkubwa ukiwa umechongoka ukitumika kuwindia samaki wakubwa au nyangumi.

je si kila mmoja atatupwa chini katika nchi mbele yake?

"kila mmoja atatupwa chini ardhini mbele yake"