sw_tn/job/40/22.md

375 B

miti yenye vivuli

angalia jinsi ulivyotafsiri hii katika 40:19

kingo

pande za mto

hata kama Mto wa Yordani unajaa hadi katika pua yake

"hata kama gharika litakuja juu ya pua yake"

Je mtu yeyote aweza kumnasa kwa ndoano... kwa mtego?

Hili ni swali hili la kejeli hupaswa kujibiwa kwa jibu la kukanusha. "Hakuna yeyote awezaye kumkamata kwa ndoano au kwa mtego"