sw_tn/job/40/08.md

377 B

Je waweza kusema kwa hakika kwamba mimi si mwenye haki?

Unasema mimi si mwenye haki"

je utanihukumu mimi ili useme wewe ni mwenye haki?

Unanihukumu mimi ili wewe uweze kusema kwamba wewe ni mwenye haki."

mkono kama wa Mungu

"nguvu kama nguvu za Mungu

Je waweza kutoa kishindo kwa sauti kama yeye?

"Hakika hauna sauti ya nguvu kama ya Mungu, ambaye huileta radi.