sw_tn/job/39/21.md

480 B

Hurarua

Kiambishi 'hu' kinarejelea farasi. Farasi huchimbua ardhi kwasababu anakuwa amesisimka kuanza kupigana.

hurarua

"kuchimbua ardhi kwa kutumia kwato"

hudharau

"kuchekelea"

hashangazwi

"kuogopeshwa'' au ''kuhofu''

harudi nyuma

"hakimbii mbali''

podo

ni chombo ambacho hutunza mishale

hugongagonga

"kutikisika na kutoa kelele''

ubavuni

sehemu za pembeni za farasi

fumo

ni mti mrefu uliochongoka mwishoni ambao watu huurusha kwa maadui zao.