sw_tn/job/39/21.md

36 lines
480 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Hurarua
Kiambishi 'hu' kinarejelea farasi. Farasi huchimbua ardhi kwasababu anakuwa amesisimka kuanza kupigana.
# hurarua
"kuchimbua ardhi kwa kutumia kwato"
# hudharau
"kuchekelea"
# hashangazwi
"kuogopeshwa'' au ''kuhofu''
# harudi nyuma
"hakimbii mbali''
# podo
ni chombo ambacho hutunza mishale
# hugongagonga
"kutikisika na kutoa kelele''
# ubavuni
sehemu za pembeni za farasi
# fumo
ni mti mrefu uliochongoka mwishoni ambao watu huurusha kwa maadui zao.