sw_tn/job/39/19.md

24 lines
585 B
Markdown

# Maelezo ya jumla
Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu
# Je umempa farasi ... panzi?
Yahweh anatumia maswali haya kutia mkazo kwamba ni yeye ndiye huyafanya mambo haya ambayo Ayubu hayawezi.
# umeivika shingo yake
Neno 'kuvika" ni njia ya kuelezea jinsi ambavyo Yahweh alivyoifanya shingo ya farasi.
# manyoya yake
ni nywele ndefu ambazo hushuka chini kutoka katika shingo ya farasi na hutisika wakati farasi anapoondoka.
# nzige
ni aina kubwa ya panzi ambayo yaweza kuruka kwenda mbali na kwa haraka sana.
# mlio
ni sauti kubwa ambayo farasi huitoa katika pua zao.