sw_tn/job/39/16.md

505 B

Huyatendea vibaya

kiambishi 'hu' kinamrejelea mbuni jike

kazi yake

kazi ile ambayo huifanya wakati wa kulalia mayai na kuwahudumia vifaranga.

yaweza kupotea bure,

kama watoto watakufa, kazi yake yote itakuwa ni bure

amemnyima hekima

humfanya asahau hekima

ufahamu

Angalia ulivyofasiri katika 11:4

huwacheka...mpanda farasi wake

Ina maana kwamba hucheka kwasababu huenda kwa kasi kulliko farasi. "Hucheka... kwa mpanda farasi wake, kwasababu farasi hawezi kukimbia kwa kama yeye.