sw_tn/job/39/01.md

591 B

Maelezo ya jumla

Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu.

Je unajua ni wakati gani .... muda ambao huzaa watoto wao

Yahweh anatumia maswali haya kutia mkazo kwamba anatunza mbuzi na paa ilihali Ayubu hawezi kufanya hivyo.

Je waweza kuwangalia paa wakati wanapozaa watoto wao?

"wakai paa wanapozaa je waweza kuhakikisha kwamba kila kitu kinaenda sawa"

wanapozaa watoto wao

"kuzaa"

"kuhesabu miezi ya kuchukua mimba

"kuhakikisha kuwa wanakamilisha muda wa mimba zao"

wa....

Kiambishi hiki kinarejelea mbuzi na paa

muda ambao huzaa watoto wao

wakati wao wa kuzaa"