sw_tn/job/38/41.md

500 B

Maelezo ya jumla

Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu

aletaye mawindo

Yahwe anatumia swali hili kukazi kwamba ni yeye aletaye chakula kwa kunguru na ya kwamba Ayubu halijui hilo.

mawindo

mnyama ambaye kunguru humtafuta na anaweza kumla

kunguru

ndege aina ya kunguru

wanapomlilia Mungu

"kumlilia Mungu ili kupata msaada" au " kumlilia Mungu ili awaokoe"

kutangatanga

"kuzunguka zunguka"

kwa kukosa chakula

"kwasababu hawana chakula" au "kwa kuwa hawana kitu cha kula"