forked from WA-Catalog/sw_tn
500 B
500 B
Maelezo ya jumla
Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu
aletaye mawindo
Yahwe anatumia swali hili kukazi kwamba ni yeye aletaye chakula kwa kunguru na ya kwamba Ayubu halijui hilo.
mawindo
mnyama ambaye kunguru humtafuta na anaweza kumla
kunguru
ndege aina ya kunguru
wanapomlilia Mungu
"kumlilia Mungu ili kupata msaada" au " kumlilia Mungu ili awaokoe"
kutangatanga
"kuzunguka zunguka"
kwa kukosa chakula
"kwasababu hawana chakula" au "kwa kuwa hawana kitu cha kula"