sw_tn/job/38/36.md

1016 B

Maelezo ya jumla

Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu

Ni nani ameweka hekima...kushikama kwa pamoja

Yahweh anatumia maswali haya kukazi kwamba Mungu ana utawala juu ya mawingu na kwamba Ayubu hana uwezo huo

ameweka hekima katika mawingu

'ameyapa mawingu hekima" Yahweh anaelezea mawingu kana kwamba walikuwa ni watu na alikuwa ameyapa hekima ili kwamba yajue kile cha kufanya.

Nani anaweza kuyahesabu mawingu

Kirai hiki kina maana: "Ni nani awezaye kujua kuwa ni wembamba wa mawingu ni wa namna ganii katika anga"

viriba

Hivi ni vitu vilivyotengenezwa na watu ili viweze kuhifadhi maji. Yahweh anayarejeleamawingu mazito kama "viriba" kwasababu kwa kuwa yanashikilia maji mengi kama viriba vya maji.

wakati mavumbi yanapoungana kuwa kitu kigumu

"wakati matope ya mvua yanapoungana kwa pamoja kuwa kipande kimoja." Mvua huyafanay mavumbi makavu yaungane kwa pamoja kama kipande kimoja cha udongo.

mabonge ya dunia yanaposhikama kwa pamoja

Vipande vya udongo hushikana kwa pamoja"