sw_tn/job/38/04.md

825 B

Maelezo ya jumla

Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu.

Wewe ulikuwa wapi... misingi

Yahweh anaumia swali hili il kutia mkazo kwamba Ayubu hakuwepo wakati Mungu alipoumba dunia, hivyo Ayubu haelewi jinsi Mungu alivyoiumba dunia.

ilipoitandaza misingi ya dunia

"Nilifanya misingi ya dunia" Yahweh anaelezea jinsi alivyoiumba dunia kana kwamba alikuwa akijenga jengo.

Niambie

"Niambie jibu"

kama unao ufahamu zaidi

"unadhani unajua sana"

ni nani aliyeamuru vipimo vyake

Yahweh anatumia swali hili kutia mkazo kwamba ni yeye anayeamua namna ukubwa wa dunia unavyopaswa kuwa, hivyo ni yeye pekee anayejua jinsi alivyoifanya.

alivinyosha vipimo juu yake

"aliipima dunia kwa kamba"

kipimo

kamba ambayo watu waliitumia ili kuhakiki kuwa wanajenga jengo kwa kipimo halisi na kwa muundo sahihi.