forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
825 B
Markdown
32 lines
825 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaendelea kumtia changamoto Ayubu.
|
||
|
|
||
|
# Wewe ulikuwa wapi... misingi
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaumia swali hili il kutia mkazo kwamba Ayubu hakuwepo wakati Mungu alipoumba dunia, hivyo Ayubu haelewi jinsi Mungu alivyoiumba dunia.
|
||
|
|
||
|
# ilipoitandaza misingi ya dunia
|
||
|
|
||
|
"Nilifanya misingi ya dunia" Yahweh anaelezea jinsi alivyoiumba dunia kana kwamba alikuwa akijenga jengo.
|
||
|
|
||
|
# Niambie
|
||
|
|
||
|
"Niambie jibu"
|
||
|
|
||
|
# kama unao ufahamu zaidi
|
||
|
|
||
|
"unadhani unajua sana"
|
||
|
|
||
|
# ni nani aliyeamuru vipimo vyake
|
||
|
|
||
|
Yahweh anatumia swali hili kutia mkazo kwamba ni yeye anayeamua namna ukubwa wa dunia unavyopaswa kuwa, hivyo ni yeye pekee anayejua jinsi alivyoifanya.
|
||
|
|
||
|
# alivinyosha vipimo juu yake
|
||
|
|
||
|
"aliipima dunia kwa kamba"
|
||
|
|
||
|
# kipimo
|
||
|
|
||
|
kamba ambayo watu waliitumia ili kuhakiki kuwa wanajenga jengo kwa kipimo halisi na kwa muundo sahihi.
|