sw_tn/job/37/10.md

227 B

Barafu imetolewa kwa pumzi ya Mungu

Elihu anaongelea juu ya upepo wa baridi wa kaskazini kana kwamba ni pumzi ya Mungu. "Pumzi ya Mungu hufanya barafu"

umeganda kama chuma

wakati maji yanapoganda, huwa magumu kama chuma