sw_tn/job/37/01.md

587 B

moyo wangu hutetemeka...umeondolewa kutoka katika sehemu yake

Virai hivi viwili kimsingi vina maana moja ile ile na kutia mkazo wa ukubwa wa hofu yake.

moyo wangu hutetemeka kwa hili

Neno 'hili' linarejelea dhoruba katika 36:32

umeondolewa kutoka katika sehemu yake

Mapigo ya moyo wa Elihu yanaongelewa kana kwamba yalikuwa yanaruka nje ya kifua chake.

kelele za sauti yake, sauti inayotoka katika mdomo wake.

Virai hivi viwili kimsingi vina maana ile ile. Elihu anaiongelea sauti ya radi kana kwamba ni sauti ya Mungu.

mipaka ya dunia

"sehemu yeyote katika dunia"