forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
587 B
Markdown
20 lines
587 B
Markdown
|
# moyo wangu hutetemeka...umeondolewa kutoka katika sehemu yake
|
||
|
|
||
|
Virai hivi viwili kimsingi vina maana moja ile ile na kutia mkazo wa ukubwa wa hofu yake.
|
||
|
|
||
|
# moyo wangu hutetemeka kwa hili
|
||
|
|
||
|
Neno 'hili' linarejelea dhoruba katika 36:32
|
||
|
|
||
|
# umeondolewa kutoka katika sehemu yake
|
||
|
|
||
|
Mapigo ya moyo wa Elihu yanaongelewa kana kwamba yalikuwa yanaruka nje ya kifua chake.
|
||
|
|
||
|
# kelele za sauti yake, sauti inayotoka katika mdomo wake.
|
||
|
|
||
|
Virai hivi viwili kimsingi vina maana ile ile. Elihu anaiongelea sauti ya radi kana kwamba ni sauti ya Mungu.
|
||
|
|
||
|
# mipaka ya dunia
|
||
|
|
||
|
"sehemu yeyote katika dunia"
|