sw_tn/job/36/17.md

507 B

wewe umejaa hukumu juu ya watu waovu

Maana zinazokubalika ni 1)" Mungu anakuhukumu kama ambavyo angewahukumu watu waovu" au 2) "umejawa na kushikwa na hukumu ambayo watu waovu wanastahili"

hukumu na haki umeziachilia

"Mungu amekuleta katika hukumu na amekupa haki"

Usiuache utajiri ukuvute katika udanganyifu;

Usimruhusu mtu akuvute katika udanganyifu kwa mali.

sehemu kubwa ya rushwa isikugeuze upande kutoka katika haki.

"Usimruhusu mtu akugeuze upande kutoka katika haki kwa rusha kubwa.