sw_tn/job/36/08.md

257 B

wamefungwa minyororo

Hapa kiambishi 'wa' kinawarejelea watu kwa ujumla. "mtu mmoja aliwafunga kwa minyororo''

kunaswa katika kamba za mateso

Elihu anaongelea juu ya mateso kana kwamba yanaweza kuwanasa watu kwa kamba. "kama mtu atawafanya wateseke"