sw_tn/job/36/06.md

283 B

Haondoi macho yake kwa wenye haki

"huwaangalia wale wenye haki"

huwaweka juu ya viti vya enzi kama wafalme

Yahweh huwaheshimu watu kama watu wanavyowaheshimu wafalme.

nao wameinuliwa juu

Maana zinazokubalika ni 1) anawafanya wengine" au 2)"anawafanya wengine wafanikiwe"