Haondoi macho yake kwa wenye haki
"huwaangalia wale wenye haki"
huwaweka juu ya viti vya enzi kama wafalme
Yahweh huwaheshimu watu kama watu wanavyowaheshimu wafalme.
nao wameinuliwa juu
Maana zinazokubalika ni 1) anawafanya wengine" au 2)"anawafanya wengine wafanikiwe"