forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
283 B
Markdown
12 lines
283 B
Markdown
|
# Haondoi macho yake kwa wenye haki
|
||
|
|
||
|
"huwaangalia wale wenye haki"
|
||
|
|
||
|
# huwaweka juu ya viti vya enzi kama wafalme
|
||
|
|
||
|
Yahweh huwaheshimu watu kama watu wanavyowaheshimu wafalme.
|
||
|
|
||
|
# nao wameinuliwa juu
|
||
|
|
||
|
Maana zinazokubalika ni 1) anawafanya wengine" au 2)"anawafanya wengine wafanikiwe"
|