sw_tn/job/34/36.md

328 B

Kama Ayubu alijaribiwa kwa kitu kidogo kabisa katika kesi yake

"kama tu tungeweza kumpeleka Ayubu mahakamani ili kwamba hakimu aweze kumsikia kwa malalamiko yake yote."

anapiga makofi ya dharau kati yetu

"Humdharau Mungu mbele yetu hasa"

anaweka maneno kinyume na Mungu

"anaendelea kusema mambo mabaya kumhusu Mungu"