sw_tn/job/34/29.md

513 B

Maelezo ya jumla

Elihu anaendelea kuzungumza

Na wakati akaapo kimya, nani aweza kumhukumu kuwa mkosaji?

Elihu anatumia swali kwa ajili ya kumfundisha Ayubu. "Hakuna anayeweza kumkosoa Mungu kama akiamua kukaa kimya"

Kama akiuficha uso wake, ni nani awezaye kumjua?

Elihu anatumia swali jingine kwa sababu ile ile. "Hakuna hata mmoja anayeweza kwenda na kumwona kama akiamua kujificha mwenyewe."

asiwepo mtu wa kuwanasa watu.

Hii inawalinganisha watu watawaua na muwindaji ambaye hunasa nyara zake.