sw_tn/job/34/26.md

383 B

Maelezo ya jumla

Elihu anaendelea kuzungumza

dhahiri mbele za watu wengine

"katika sehemu ambayo kila mtu anaweza kuona"

wamegeuka na kuacha kumfuata yeye

"wangeacha kumtii yeye"

njia zake

Hii inarejelea maagizo ya Mungu kwa jinsi ambavyo watu wanapaswa kuenenda.

wamekifanya kilio cha watu masikini kimfikie

"waliwafanya watu masikini walie, na Mungu aliwasikia"