sw_tn/job/34/21.md

293 B

Kwa kuwa macho ya Mungu yako juu ya njia za mtu;

"kwa kuwa Mungu huangalia kila kitu anakifanyacho mtu

anaziona hatua zake zote

"humwona kila aendako"

Hakuna giza, wala hakuna weusi mzito

Maneno "weusi mzito" kimsingi yanamaanisha kitu kile kile na yanatia uzito juu ya neno "giza"