sw_tn/job/34/18.md

588 B

Maelezo ya jumla

Elihu anaendelea kuzungumza

Mungu ambaye humwambia mfalme, ' Wewe ni mbaya; au huwaambia wenye kuheshimiwa, 'Ninyi ni waovu'?

Hii inaendeleza swali kutoka katika mstari uliotangulia.

mbaya

"mwovu" au "asiyestahili"

, kwa kuwa wote ni kazi ya mikono yake

Mahali hapa neno "mkono" linamaanisha nguvu.

wakati wa usiku watu watatikiswa na watapita

"wakati wa usiku" ni wakati wa mwisho wa siku na mwanzo wa siku nyingine.

watu wenye nguvu watatwaliwa mbali,lakini si kwa mikono ya wanadamu.

"Ni Mungu wala si wanadamu anayewafanya watu wa muhimu wafe.