sw_tn/job/34/16.md

473 B

Maelezo ya jumla

Elihu anaendelea kuzungumza

sasa

Elihu anatumia neno hili ili kuleta usikivu wa kitu fulani muhimu ambacho alikuwa karibu kukisema.

sikilizeni sauti ya maneno yangu

Hii ina ina maana ile ile na ya sehemu iliyotangulia ya sentensi. "sikiliza kile ninachosema"

Je yeye anayeichukia haki aweza kutawala? Je mtamhukumu Mungu kuwa ni mwenye makosa, ambaye ni mwenye haki na mwenye nguvu?

"Yeye anayechukia haki hawezi kutegemea kuwa kiongozi juu