forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
716 B
Markdown
20 lines
716 B
Markdown
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Elihu anazidi kuongea
|
|
|
|
# enyi watu wenye ufahamu
|
|
|
|
Elihu anamkosoa Ayubu na marafiki zake. Hadhani kabisa kama walikuwa ni watu wenye hekima.
|
|
|
|
# iwe mbali na Mwenye enzi kwamba atatenda dhambi
|
|
|
|
Hii ina maana sawa na sehemu nyingine ya sentensi iliyotangulia. Elihu anakazia kwamba Mungu siku zote hufanya yaliyo ya haki.
|
|
|
|
# humfanya mtu apate thawabu za njia zake mwenyewe
|
|
|
|
Hii inamaana sawa na sehemu nyingine ya sentensi iliyotangulia. Elihu anatia mkazo kwamba Mungu huwapa watu kile wanachostahili.
|
|
|
|
# Mungu hatendi uovu, wala Mwenye nguvu hajaIpotosha haki.
|
|
|
|
Hii ina maana sawa na sehemu nyingine ya sentensi iliyotangulia. Elihu anakazia kwamba Mungu siku zote hufanya yaliyo ya haki.
|