sw_tn/job/34/10.md

716 B

Maelezo ya jumla

Elihu anazidi kuongea

enyi watu wenye ufahamu

Elihu anamkosoa Ayubu na marafiki zake. Hadhani kabisa kama walikuwa ni watu wenye hekima.

iwe mbali na Mwenye enzi kwamba atatenda dhambi

Hii ina maana sawa na sehemu nyingine ya sentensi iliyotangulia. Elihu anakazia kwamba Mungu siku zote hufanya yaliyo ya haki.

humfanya mtu apate thawabu za njia zake mwenyewe

Hii inamaana sawa na sehemu nyingine ya sentensi iliyotangulia. Elihu anatia mkazo kwamba Mungu huwapa watu kile wanachostahili.

Mungu hatendi uovu, wala Mwenye nguvu hajaIpotosha haki.

Hii ina maana sawa na sehemu nyingine ya sentensi iliyotangulia. Elihu anakazia kwamba Mungu siku zote hufanya yaliyo ya haki.