sw_tn/job/34/04.md

392 B

Maelezo ya jumla

Elihu anazidi kuongea

Na tujichagulie sisi

Hapa "sisi" inamrejelea Elihu, Ayubu, na marafiki wake watatu.

ameondoa haki zangu

"amekataa kunipa haki "

, ninaangaliwa kama mwongo

"marafiki zangu hudhani mimi ni mwongo" Hii huenda yaweza kumaanisha: "Mungu hasemi ukweli kuhusu mimi"

Kidonda changu hakiponyeki,

"mimi ni mgonjwa na hakuna awezaye kuniponya"