forked from WA-Catalog/sw_tn
392 B
392 B
Maelezo ya jumla
Elihu anazidi kuongea
Na tujichagulie sisi
Hapa "sisi" inamrejelea Elihu, Ayubu, na marafiki wake watatu.
ameondoa haki zangu
"amekataa kunipa haki "
, ninaangaliwa kama mwongo
"marafiki zangu hudhani mimi ni mwongo" Hii huenda yaweza kumaanisha: "Mungu hasemi ukweli kuhusu mimi"
Kidonda changu hakiponyeki,
"mimi ni mgonjwa na hakuna awezaye kuniponya"