forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
392 B
Markdown
20 lines
392 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Elihu anazidi kuongea
|
||
|
|
||
|
# Na tujichagulie sisi
|
||
|
|
||
|
Hapa "sisi" inamrejelea Elihu, Ayubu, na marafiki wake watatu.
|
||
|
|
||
|
# ameondoa haki zangu
|
||
|
|
||
|
"amekataa kunipa haki "
|
||
|
|
||
|
# , ninaangaliwa kama mwongo
|
||
|
|
||
|
"marafiki zangu hudhani mimi ni mwongo" Hii huenda yaweza kumaanisha: "Mungu hasemi ukweli kuhusu mimi"
|
||
|
|
||
|
# Kidonda changu hakiponyeki,
|
||
|
|
||
|
"mimi ni mgonjwa na hakuna awezaye kuniponya"
|